Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 11:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Wadudu wote wenye mabawa na waendao kwa miguu minne, hao ni najisi kwenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Wadudu wote wenye mabawa na waendao kwa miguu minne, hao ni najisi kwenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Wadudu wote wenye mabawa na waendao kwa miguu minne, hao ni najisi kwenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Wadudu wote warukao ambao hutembea kwa miguu minne watakuwa chukizo kwenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Wadudu wote warukao ambao hutembea kwa miguu minne watakuwa chukizo kwenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 11:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, kwa mkono wako uniokoe na watu, Watu wa dunia hii ambao fungu lao liko katika maisha haya. Matumbo yao wayajaza kwa hazina yako, Hushiba wana, huwaachia watoto wao akiba zao,


na korongo, na koikoi kwa aina zake, na hudihudi, na popo.


Pamoja na hayo, hivi vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne ni halali kula, hao walio na miguu mirefu, ya kurukia juu ya nchi;


Lakini vyote vitambaavyo vyenye mabawa, vilivyo na miguu minne, ni machukizo kwenu.


Tena kila mnyama aendaye kwa vitanga vyake, katika hao wanyama wote waendao kwa miguu minne, hao ni najisi kwenu; awaye yote atakayegusa mizoga yao, atakuwa ni najisi hata jioni.


Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.


Lakini Petro akasema, La, hasha! Bwana, kwa maana sijawahi kula kitu kilicho kichafu au najisi.


Na wadudu wote watambaao wenye mabawa ni najisi kwenu; msiwale.


Maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu huu wa sasa, akasafiri kwenda Thesalonike; Kreske amekwenda Galatia; Tito amekwenda Dalmatia.


Lakini watu hawa huyatukana mambo wasiyoyajua, na mambo wayatambuayo kwa asili wajiharibu kwayo kama wanyama wasio na akili.


Watu hao ndio waletao utengano, watu wa dunia hii tu, wasio na Roho.