Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 11:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na korongo, na koikoi kwa aina zake, na hudihudi, na popo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

korongo, aina zote za koikoi, hudihudi na popo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

korongo, aina zote za koikoi, hudihudi na popo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

korongo, aina zote za koikoi, hudihudi na popo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na korongo, na koikoi kwa aina zake, na hudihudi, na popo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 11:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Bawa la mbuni hufurahi; Lakini mabawa yake na manyoya yake, je! Yana huruma?


Humo ndege hujenga viota vyao, Korongo, anayo makao katika misonobari.


Siku hiyo kila mtu atazitupilia mbali sanamu zake za fedha, na sanamu zake za dhahabu, walizojitengenezea ili kuziabudu, kwa fuko na popo;


na mumbi, na mwari, na mderi;


Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu.


Ndipo nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, wanawake wawili walitokea, nao upepo ulikuwa katika mabawa yao; na mabawa yao yalikuwa kama mabawa ya korongo; wakaiinua ile efa kati ya dunia na mbingu.


na membe, na koikoi, kwa aina zake; na hudihudi, na popo.