Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 11:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na kila kunguru kwa aina zake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

aina zote za kunguru,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

aina zote za kunguru,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

aina zote za kunguru,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

aina zote za kunguru,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

aina zote za kunguru,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na kila kunguru kwa aina zake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 11:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

akatoa kunguru, naye akatoka akaenda huku na huko, hata maji yakakauka juu ya nchi.


Itakuwa utakunywa maji ya kile kijito; nami nimewaamuru kunguru wakulishe huko.


Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito.


Jicho la mtu amdhihakiye babaye, Na kudharau kumtii mamaye; Kunguru wa bondeni wataling'oa, Na vifaranga vya tai watalila.


na mwewe, na kozi kwa aina zake,


na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;


Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, lakini Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!