na mwewe, na kozi kwa aina zake,
mwewe, aina zote za kozi,
mwewe mwekundu, aina zote za mwewe mweusi,
Kisha katika ndege hawa watakuwa ni machukizo kwenu; hawataliwa, ndio machukizo; tai, na furukombe, na kipungu;
na kila kunguru kwa aina zake;
na kengewa, na kozi, na mwewe kwa aina zake;