Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wakolosai 4:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba mkiwa na shukrani;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Dumuni katika sala, na mnaposali muwe waangalifu, mkimshukuru Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Dumuni katika sala, na mnaposali muwe waangalifu, mkimshukuru Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Dumuni katika sala, na mnaposali muwe waangalifu, mkimshukuru Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Dumuni sana katika maombi, mkikesha katika hayo pamoja na kushukuru.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Dumuni sana katika maombi, mkikesha katika hayo pamoja na kushukuru.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba mkiwa na shukrani;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wakolosai 4:2
21 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, wewe wapuuza hofu ya Mungu, Nawe wazuia ibada mbele za Mungu.


Badala ya upendo wangu wao hunishitaki, Ijapokuwa niliwaombea.


Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho iko radhi, lakini mwili ni dhaifu.


Angalieni, kesheni, [ombeni], kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwapo.


Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


Basi, kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka katika haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.


Hawa wote walikuwa wakidumu kwa moyo mmoja katika kusali, pamoja nao wanawake, na Mariamu mama yake Yesu, na ndugu zake.


kwa tumaini, mkifurahi; katika dhiki, mkisubiri; mkidumu katika kusali;


kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote;


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.


Kwa sababu hiyo sisi nasi, tangu siku ile tuliposikia, hatuachi kufanya maombi na dua kwa ajili yenu, ili mjazwe maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa rohoni;


wenye shina na wenye kujengwa katika yeye; mmefanywa imara kwa imani, kama mlivyofundishwa; mkizidi kutoa shukrani.


Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani.


Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.


Epafra, aliye mtu wa kwenu, mtumwa wa Yesu Kristo, awasalimu, akifanya bidii siku zote kwa ajili yenu katika maombi yake, ili msimame mkiwa wakamilifu na kuthibitika kabisa katika mapenzi yote ya Mungu.


Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia; basi, iweni na akili, mkeshe katika sala.


Ikawa, hapo alipoendelea kuomba mbele za BWANA, Eli akamwangalia kinywa chake.


Lakini mimi, hasha! Nisimtende BWANA dhambi kwa kuacha kuwaombea ninyi; lakini nitawaelimisha katika njia iliyo njema, na kunyoka