Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wakolosai 3:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ninyi waume, wapendeni wake zenu msiwe na uchungu nao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala msiwe wakali kwao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala msiwe na uchungu dhidi yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ninyi waume, wapendeni wake zenu msiwe na uchungu nao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wakolosai 3:19
14 Marejeleo ya Msalaba  

Isaka akamwingiza Rebeka katika hema ya mama yake, Sara, akamtwaa Rebeka, akawa mkewe, akampenda; Isaka akafarijika kwa ajili ya kufa kwa mama yake.


Uishi kwa furaha pamoja na mke umpendaye, siku zote za maisha yako ya ubatili, ulizopewa chini ya jua; siku zote za ubatili wako, kwa maana hiyo ni sehemu yako ya maisha; na katika kazi zako unazozifanya chini ya jua.


Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake wa kiume na wa kike; naam, na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu.


Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matusi yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya;


Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda kanisa, akajitoa kwa ajili yake;


Lakini kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; wala mke asikose kumstahi mumewe.


Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.


Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo juu ya kweli.


Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; maana wao pia ni warithi wa neema ya uzima, ili maombi yenu yasizuiliwe na chochote.