Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wakolosai 3:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninyi wake, watiini waume zenu, kama inavyostahili katika Bwana Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninyi wake, watiini waume zenu, kama inavyostahili katika Bwana Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wakolosai 3:18
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa uchungu utazaa watoto; hata hivyo, hamu yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.


Basi mbiu ya mfalme atakayoipiga itakapotangazwa katika ufalme wake wote, nao ni mkubwa, wake wote watawaheshimu waume zao, wakubwa kwa wadogo.


Petro na mitume wakajibu, wakisema, Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu.


Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.


Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.


Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.


Lakini uasherati usitajwe kwenu kamwe, wala uchafu wowote wa kutamani, kama iwastahilivyo watakatifu;


kwa kuwa tunda la nuru ni katika wema wote na haki na kweli;


Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe msikivu.