Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wakolosai 2:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mambo ya aina hiyo ni kivuli tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mambo ya aina hiyo ni kivuli tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mambo ya aina hiyo ni kivuli tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hizi zilikuwa kivuli cha mambo yajayo; lakini uhalisi unapatikana kwa Al-Masihi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hizi zilikuwa kivuli cha mambo ambayo yangekuja, lakini ile iliyo halisi imo ndani ya Al-Masihi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wakolosai 2:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.


Basi torati, kwa kuwa ni kivuli cha mema yatakayokuwa, wala si sura yenyewe ya mambo hayo, kwa dhabihu zile zile wanazozitoa kila mwaka daima, haiwezi wakati wowote kuwakamilisha wakaribiao.


watumikiao mfano na kivuli cha mambo ya mbinguni, kama Musa alivyoagizwa na Mungu, alipokuwa tayari kuifanya ile hema; maana asema, Angalia ukavifanye vitu vyote kwa mfano ule uliooneshwa katika mlima.


ambayo ndiyo mfano wa wakati huu ulioko sasa; wakati huo sadaka na dhabihu zinatolewa, zisizoweza kwa jinsi ya dhambi kumkamilisha mtu aabuduye,