Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wakolosai 1:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

naye alitueleza upendo wenu katika Roho.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye alitupa habari za upendo wenu mliojaliwa na Roho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye alitupa habari za upendo wenu mliojaliwa na Roho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye alitupa habari za upendo wenu mliojaliwa na Roho.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ambaye pia ametuambia kuhusu upendo wenu katika Roho wa Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ambaye pia ametuambia kuhusu upendo wenu katika Roho wa Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

naye alitueleza upendo wenu katika Roho.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wakolosai 1:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana hakuna neno lililositirika, ila kusudi lije kudhihirika; wala hakuna lililofichwa, ila kusudi lije kutokea wazi.


Ndugu zangu, nawasihi kwa Bwana wetu Yesu Kristo, na kwa upendo wa Roho, jitahidini pamoja nami katika maombi yenu kwa ajili yangu mbele za Mungu;


na tumaini halitahayarishi; kwa maana pendo la Mungu limekwisha kumiminwa katika mioyo yetu na Roho Mtakatifu tuliyepewa sisi.


Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,


tangu tuliposikia habari za imani yenu katika Kristo Yesu, na upendo mlio nao kwa watakatifu wote;


Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi.


Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo safi.