Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wagalatia 5:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana sisi kwa Roho tunalitazamia tumaini la haki kwa njia ya imani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa upande wetu, lakini, sisi tunangojea kwa matumaini kwa nguvu ya Roho tufanywe waadilifu kwa njia ya imani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa upande wetu, lakini, sisi tunangojea kwa matumaini kwa nguvu ya Roho tufanywe waadilifu kwa njia ya imani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa upande wetu, lakini, sisi tunangojea kwa matumaini kwa nguvu ya Roho tufanywe waadilifu kwa njia ya imani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana, kupitia Roho wa Mungu tunangojea kwa shauku tumaini la haki kwa imani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana, kwa njia ya Roho kwa imani, tunangojea kwa shauku tumaini la haki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana sisi kwa Roho tunalitazamia tumaini la haki kwa njia ya imani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wagalatia 5:5
17 Marejeleo ya Msalaba  

Wokovu wako nimeungoja, Ee BWANA.


Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja, Na neno lake nimelitumainia.


Naam, wakungojao hawataaibika hata mmoja; Wataaibika watendao uhaini bila sababu.


Uniongoze katika kweli yako, Na kunifundisha. Maana Wewe ndiwe Mungu wa wokovu wangu, Nakungoja Wewe mchana kutwa.


Nafsi yangu, umngoje Mungu peke yake kwa utulivu. Maana tumaini langu hutoka kwake.


Basi, mrudie Mungu wako; shika fadhili na hukumu; ukamngojee Mungu wako daima.


ili kwamba, kama vile dhambi ilivyotawala katika mauti, vivyo hivyo kwa njia ya haki neema itawale hata uzima wa milele kwa Yesu Kristo Bwana wetu.


hata hamkupungukiwa na karama yoyote, mkikutazamia sana kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo;


Kwa maana kwa yeye sisi sote tumepata njia ya kumkaribia Baba katika Roho mmoja.


tena nionekane katika yeye, nisiwe na haki yangu mwenyewe ipatikanayo kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani iliyo katika Kristo, haki ile itokayo kwa Mungu, kwa imani;


na kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye alimfufua katika wafu, naye ni Yesu, mwenye kutuokoa kutoka kwa ghadhabu itakayokuja.


Bwana awaongoze mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na subira ya Kristo.


baada ya hayo nimewekewa taji la haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile; wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda kufunuliwa kwake.


tukilitazamia tumaini lenye baraka na kufunuliwa kwa utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;