Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wagalatia 5:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini mkiongozwa na Roho, hampo chini ya sheria.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama mkiongozwa na Roho, basi, hamko tena chini ya sheria.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama mkiongozwa na Roho, basi, hamko tena chini ya sheria.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama mkiongozwa na Roho, basi, hamko tena chini ya sheria.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini mkiongozwa na Roho wa Mungu, hamko chini ya Torati.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kama mkiongozwa na Roho, hamko chini ya sheria.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini mkiongozwa na Roho, hampo chini ya sheria.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wagalatia 5:18
18 Marejeleo ya Msalaba  

Natembea katika njia ya haki, Katikati ya mapito ya hukumu.


Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.


Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.


Kadhalika, ndugu zangu, ninyi pia mmeifia torati, kwa njia ya mwili wa Kristo, mpate kuwa mali ya mwingine, yeye aliyefufuka katika wafu, kusudi tumzalie Mungu matunda.


Basi, kama ni hivyo, ndugu, tu wadeni, si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili,


Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.


Basi nasema, Nendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.


upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.


Tukiishi kwa Roho, na tuenende kwa Roho.


akilifahamu neno hili, ya kuwa sheria haimhusu mtu asiye na hatia, bali wavunjao sheria, waasi, na makafiri, na wenye dhambi, na wanajisi, na wasiomcha Mungu, na wapigao baba zao, na wapigao mama zao, na wauaji,


Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi.