Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wagalatia 5:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini mkiumana na kulana, angalieni msije mkaangamizana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini ikiwa mtaumana na kutafunana kama wanyama, jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini ikiwa mtaumana na kutafunana kama wanyama, jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini ikiwa mtaumana na kutafunana kama wanyama, jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini mkiumana na kutafunana, angalieni msije mkaangamizana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mkiumana na kutafunana, angalieni, msije mkaangamizana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini mkiumana na kulana, angalieni msije mkaangamizana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wagalatia 5:15
16 Marejeleo ya Msalaba  

Na wivu wa Efraimu utaondoka, na wale wanaomwudhi Yuda watakatiliwa mbali; Efraimu hatamhusudu Yuda, wala Yuda hatamwudhi Efraimu.


na nyumba ikifitinika juu ya nafsi yake, nyumba hiyo haiwezi kusimama.


kwa maana hata sasa ninyi ni watu wa tabia ya mwilini. Maana, ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je! Si watu wa tabia ya mwilini ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya kibinadamu?


Maana mwachukuliana na mtu akiwatia utumwani, akiwameza, akiwateka nyara, akijikuza, akiwapiga usoni.


Maana nachelea, nisije nikawakuta si kama vile nitakavyo kuwakuta, nikaonekana kwenu si kama vile mtakavyo; nisije nikakuta labda fitina na wivu, na ghadhabu, na ugomvi, na masingizio, na manong'onezo, na majivuno, na ghasia;


ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, mafarakano, uzushi,


Tusijisifu bure, tukichokozana na kuhusudiana.


Jihadharini na mbwa, jihadharini na watendao mabaya, jihadharini na wajikatao.


Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.


Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo juu ya kweli.


Abimeleki, na vile vikosi vilivyokuwa pamoja naye, wakafululiza, wakasimama penye maingilio ya lango la mji, na vile vikosi viwili vikawarukia hao wote waliokuwa mashambani, na kuwaua.