Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wagalatia 3:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi hao walio wa imani hubarikiwa pamoja na Abrahamu aliyekuwa mwenye imani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wale walio na imani wanabarikiwa pamoja na Abrahamu aliyeamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wale walio na imani wanabarikiwa pamoja na Abrahamu aliyeamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wale walio na imani wanabarikiwa pamoja na Abrahamu aliyeamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa sababu hii, wale wote wanaoamini wanabarikiwa pamoja na Ibrahimu, mtu wa imani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa sababu hii, wale wote wanaoamini wanabarikiwa pamoja na Ibrahimu, mtu wa imani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi hao walio wa imani hubarikiwa pamoja na Abrahamu aliyekuwa mwenye imani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wagalatia 3:9
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abrahamu alikuwa mzee mwenye miaka mingi, na BWANA alikuwa amembariki Abrahamu katika vitu vyote.


Naye aliipokea dalili hii ya kutahiriwa, mhuri wa ile haki ya imani aliyokuwa nayo kabla hajatahiriwa; apate kuwa baba yao wote waaminio, ijapokuwa hawakutahiriwa, ili na wao pia wahesabiwe haki;


Kwa hiyo ilitoka katika imani, iwe kwa njia ya neema, ili kwamba ile ahadi iwe imara kwa wazawa wote; si kwa wale wa torati tu, ila na kwa wale wa imani ya Abrahamu; aliye baba yetu sisi sote;


bali na kwa ajili yetu sisi mtakaohesabiwa vivyo hivyo, sisi tunaomwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu katika wafu;


ili kwamba baraka ya Abrahamu iwafikie Mataifa katika Yesu Kristo, tupate kupokea ahadi ya Roho kwa njia ya imani.


Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Abrahamu, na warithi kulingana na ahadi.


Basi, ndugu zangu, kama Isaka sisi tu watoto wa ahadi.