Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wagalatia 3:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama vile Abrahamu alivyomwamini Mungu akahesabiwa haki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: Yeye alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: Yeye alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: yeye alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama vile “Ibrahimu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama vile “Ibrahimu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama vile Abrahamu alivyomwamini Mungu akahesabiwa haki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wagalatia 3:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwamini BWANA, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki.


bali na kwa ajili yetu sisi mtakaohesabiwa vivyo hivyo, sisi tunaomwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu katika wafu;


Basi hao walio wa imani hubarikiwa pamoja na Abrahamu aliyekuwa mwenye imani.


Maandiko yale yakatimizwa yaliyonena, Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa ni haki; naye aliitwa rafiki wa Mungu.