Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wagalatia 1:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini sikumwona mtume mwingine, ila Yakobo, ndugu yake Bwana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini sikumwona mtume mwingine, ila Yakobo, ndugu yake Bwana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wagalatia 1:19
12 Marejeleo ya Msalaba  

Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo, na Thadayo;


Alipokuwa katika kusema na makutano, tazama, mama yake na ndugu zake walikuwa wakisimama nje, wataka kusema naye.


Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda?


na Andrea, na Filipo, na Bartholomayo, na Mathayo, na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Thadayo, na Simoni Mkananayo,


Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simoni? Na dada zake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake.


na Mathayo na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Simoni aitwaye Zelote,


Akaletewa habari akiambiwa, Mama yako na ndugu zako wamesimama nje wakitaka kuonana nawe.


Wakati walipoingia, wakapanda ghorofani, walipokuwa wakikaa; Petro, na Yohana, na Yakobo, na Andrea, Filipo na Tomaso, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo wa Alfayo, na Simoni Zelote, na Yuda wa Yakobo.


Naye akawapungia mkono wanyamaze, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa katika gereza. Akasema, Kampasheni Yakobo na wale ndugu habari hizi. Akaondoka, akaenda mahali pengine.


Hatuna uwezo kuchukua pamoja nasi mke aliye ndugu, kama wao mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa?


Yakobo, mtumwa wa Mungu, na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila kumi na mawili waliotawanyika; salamu.


Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, kwa hao walioitwa, waliopendwa katika Mungu Baba, na kuhifadhiwa kwa ajili ya Yesu Kristo.