Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waefeso 6:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

ambaye ninamtuma kwenu kwa kusudi lilo hilo mpate kuzijua habari zetu, naye awafariji mioyo yenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Namtuma kwenu awapeni habari zetu mpate kuwa na moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Namtuma kwenu awapeni habari zetu mpate kuwa na moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Namtuma kwenu awapeni habari zetu mpate kuwa na moyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninamtuma kwenu kwa ajili ya kusudi hili hasa, ili mpate kujua hali yetu, na awatie moyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninamtuma kwenu kwa ajili ya kusudi hili hasa, ili mpate kujua hali yetu, na awatie moyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ambaye ninamtuma kwenu kwa kusudi lilo hilo mpate kuzijua habari zetu, naye awafariji mioyo yenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waefeso 6:22
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini natumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo afike kwenu karibu, nifarijiwe na mimi, nikiijua hali yenu.


Lakini niliona imenilazimu kumtuma kwenu Epafrodito, ndugu yangu, mfanyakazi pamoja nami, askari pamoja nami; tena ni mtume wenu na mhudumu wa mahitaji yangu.


ili wafarijiwe mioyo yao, wakiunganishwa katika upendo, wakapate utajiri wote wa kufahamu kwa hakika, wapate kujua kabisa siri ya Mungu, yaani, Kristo;


Tukamtuma Timotheo ndugu yetu, mtumishi wa Mungu katika Injili ya Kristo, ili kuwafanya ninyi imara na kuwafariji katika imani yenu;


awafariji mioyo yenu, na kuwafanya imara katika kila neno na tendo jema.


Lakini Tikiko nilimtuma Efeso.