Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waefeso 5:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa kuwa tu viungo vya mwili wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

maana sisi ni viungo vya mwili wake).

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

maana sisi ni viungo vya mwili wake).

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

maana sisi ni viungo vya mwili wake).

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sisi tu viungo vya mwili wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sisi tu viungo vya mwili wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa tu viungo vya mwili wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waefeso 5:30
7 Marejeleo ya Msalaba  

Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.


Vivyo hivyo na sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo, kila mmoja kwa mwenzake.


Je! Hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaba? La hasha!


ndilo mwili wake, ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote.


Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake popote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea kanisa.


wala hakishiki Kichwa, ambacho kwa yeye mwili wote ukineemeshwa na kuungamanishwa kwa viungo na mishipa, hukua kama atakavyo Mungu.