Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waefeso 5:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wake wawatii waume zao kama kumtii Bwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wake wawatii waume zao kama kumtii Bwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wake wawatii waume zao kama kumtii Bwana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninyi wake, watiini waume zenu kama vile mnavyomtii Bwana Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waefeso 5:22
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa uchungu utazaa watoto; hata hivyo, hamu yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.


Basi mbiu ya mfalme atakayoipiga itakapotangazwa katika ufalme wake wote, nao ni mkubwa, wake wote watawaheshimu waume zao, wakubwa kwa wadogo.


Kwa maana alipeleka nyaraka katika majimbo yote ya mfalme, kila jimbo kwa mwandiko wake, na kila taifa kwa lugha yake, ya kwamba kila mwanamume atawale nyumbani mwake, na kuitangaza habari hii kwa lugha ya watu wake.


Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.


Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.


Enyi watumwa, watiini wao walio bwana zenu kwa jinsi ya mwili, kwa hofu na kutetemeka, kwa unyofu wa moyo, kana kwamba mnamtii Kristo;


Basi mkiwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu Kristo aliko, ameketi katika mkono wa kulia wa Mungu.


Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana.


na kuwa wenye kiasi, kuwa safi, kufanya kazi nyumbani mwao, kuwa wema, kuwatii waume zao wenyewe; ili neno la Mungu lisitukanwe.