Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waefeso 5:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini chochote kinachoangazwa na nuru hudhihirishwa, maana chochote kile kilichoadhihirika ni nuru.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini kila kitu kikifichuliwa na mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini kila kitu kikifichuliwa na mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini kila kitu kikifichuliwa na mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini kila kitu kilichowekwa nuruni, huonekana,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kila kitu kilichowekwa nuruni, huonekana,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini chochote kinachoangazwa na nuru hudhihirishwa, maana chochote kile kilichoadhihirika ni nuru.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waefeso 5:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Manabii wako wameona maono kwa ajili yako Ya ubatili na upumbavu Wala hawakufunua uovu wako, Wapate kurudisha kufungwa kwako; Bali wameona mabashiri ya ubatili kwa ajili yako Na sababu za kuhamishwa.


Na sasa nitaifunua aibu yake mbele ya macho ya wapenzi wake, wala hapana mtu atakayemwokoa katika mkono wangu.


Wakati nitakapo kumponya Israeli, ndipo yafunuliwapo maovu ya Efraimu, na ubaya wa Samaria; maana wanatenda uongo, na mwizi huvunja nyumba za watu, na kundi la magaidi hushambulia nje.


Nitaivumilia ghadhabu ya BWANA, kwa kuwa nimemwasi; hata atakaponitetea shutuma yangu, na kunifanyia hukumu; atanileta nje kwenye nuru, nami nitaiona haki yake.


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.


Je! Yuko malaika aliyemwambia wakati wowote, Uketi mkono wa kulia Hata nitakapoweka adui zako chini ya nyayo zako?