Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waefeso 4:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini kila mmoja wetu alipewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa chake Kristo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila mmoja wetu amepewa neema kadiri ya kipimo alichojaliwa na Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila mmoja wetu amepewa neema kadiri ya kipimo alichojaliwa na Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila mmoja wetu amepewa neema kadiri ya kipimo alichojaliwa na Kristo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini kila mmoja wetu amepewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa cha Al-Masihi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kila mmoja wetu amepewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa cha Al-Masihi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini kila mmoja wetu alipewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa chake Kristo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waefeso 4:7
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akampa mmoja talanta tano, na mmoja talanta mbili, na mmoja talanta moja; kila mtu kwa kadiri ya uwezo wake; akasafiri.


Kwa kuwa yeye aliyetumwa na Mungu huyanena maneno ya Mungu; kwa sababu hamtoi Roho kwa kipimo.


Kwa maana kwa neema niliyopewa namwambia kila mtu aliyeko kwenu asinuie makuu kupita ilivyompasa kunuia; bali awe na nia ya kiasi, kama Mungu alivyomgawia kila mtu kiasi cha imani.


Nasi tukitenda kazi pamoja naye twawasihi msiipokee neema ya Mungu bure.


ikiwa mmesikia habari ya uwakili wa neema ya Mungu niliyopewa kwa ajili yenu;


Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nilipewa neema hii ya kuwahubiria Mataifa utajiri wake Kristo usiopimika;


Mungu naye akishuhudia pamoja nao kwa ishara na ajabu na nguvu za namna nyingi, na kwa karama za Roho Mtakatifu, kama alivyopenda mwenyewe.


kila mmoja kwa kadiri alivyoipokea karama, itumieni kwa kuhudumiana; kama mawakili wema wa neema mbalimbali za Mungu.