Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waefeso 2:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

si kwa matendo, ili mtu yeyote asije akajisifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

si kwa matendo, ili mtu yeyote asije akajisifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waefeso 2:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ikiwa ni kwa neema, haiwi kwa matendo tena, au hapo neema isingekuwa neema.


kwa sababu hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki mbele zake kwa matendo ya sheria; kwa maana kutambua dhambi huja kwa njia ya sheria.


Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia; lakini si mbele za Mungu.


(kwa maana kabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema wala baya, ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua, si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu ya nia yake aitaye),


Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye, yaani, Mungu.


ambaye alituokoa akatuita kwa mwito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu sisi, bali kwa kadiri ya makusudi yake mwenyewe na neema yake. Neema hiyo tulipewa katika Kristo Yesu kabla ya wakati kuanza,