Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waefeso 1:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

siachi kutoa shukrani kwa ajili yenu; nikiwakumbuka katika sala zangu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

sijaacha kamwe kumshukuru Mungu kwa ajili yenu. Ninawakumbuka katika sala zangu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

sijaacha kamwe kumshukuru Mungu kwa ajili yenu. Ninawakumbuka katika sala zangu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

sijaacha kamwe kumshukuru Mungu kwa ajili yenu. Ninawakumbuka katika sala zangu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

sijaacha kumshukuru Mungu kwa ajili yenu, nikiwakumbuka katika maombi yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

sijaacha kumshukuru Mungu kwa ajili yenu, nikiwakumbuka katika maombi yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

siachi kutoa shukrani kwa ajili yenu; nikiwakumbuka katika sala zangu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waefeso 1:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ila unikumbuke mimi, utakapopata mema, ukanifanyie fadhili, nakuomba, ukanitaje kwa Farao, na kunitoa katika nyumba hii.


Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu; hawatanyamaza mchana wala usiku; ninyi wenye kumkumbusha BWANA, msiwe na kimya;


Twamshukuru Mungu, Baba yake Bwana wetu Yesu Kristo, siku zote tukiwaombea;


Kwa sababu hiyo sisi nasi, tangu siku ile tuliposikia, hatuachi kufanya maombi na dua kwa ajili yenu, ili mjazwe maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa rohoni;


Twamshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu nyote, tukiwataja katika maombi yetu.


Ndugu, imetupasa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, kama ilivyo wajibu, kwa kuwa imani yenu inazidi sana, na upendo wa kila mtu kwenu kwa mwenzake umekuwa mwingi.


Lakini mimi, hasha! Nisimtende BWANA dhambi kwa kuacha kuwaombea ninyi; lakini nitawaelimisha katika njia iliyo njema, na kunyoka


Wana wa Israeli wakamwambia Samweli, Usiache kumlilia BWANA, Mungu wetu, kwa ajili yetu, kwamba atuokoe na mikono ya Wafilisti.