Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 2:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana hakuuweka chini ya malaika ulimwengu ule ujao tunaounena, ila mtu mmoja ameshuhudia hivi mahali fulani, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu hakuwaweka malaika wautawale ulimwengu ujao, yaani ulimwengu ule tunaoongea habari zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu hakuwaweka malaika wautawale ulimwengu ujao, yaani ulimwengu ule tunaoongea habari zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu hakuwaweka malaika wautawale ulimwengu ujao, yaani ulimwengu ule tunaoongea habari zake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu hakuuweka ulimwengu ujao ambao tunanena habari zake chini ya malaika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenyezi Mungu hakuuweka ulimwengu ujao ambao tunanena habari zake chini ya malaika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana hakuuweka chini ya malaika ulimwengu ule ujao tunaounena, ila mtu mmoja ameshuhudia hivi mahali fulani, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 2:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena Habari Njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.


Maana hapa hatuna mji udumuo, bali twautafuta ule ujao.


na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za wakati ujao,


Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.


Malaika wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata milele na milele.