Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 8:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye akawaambia hao watu wa Penieli nao, akisema, Nitakapokuja tena kwa amani, nitaubomoa mnara huu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Gideoni akawaambia, “Nitakaporudi kwa amani nitaubomoa mnara huu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Gideoni akawaambia, “Nitakaporudi kwa amani nitaubomoa mnara huu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Gideoni akawaambia, “Nitakaporudi kwa amani nitaubomoa mnara huu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo akawaambia wanaume wa Penieli, “Nitakaporudi kwa ushindi, nitaubomoa mnara huu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo akawaambia watu wa Penieli, “Nitakaporudi baada ya kushinda, nitaubomoa mnara huu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye akawaambia hao watu wa Penieli nao, akisema, Nitakapokuja tena kwa amani, nitaubomoa mnara huu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 8:9
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi hao kina Zebu na Salmuna walikuwa katika Karkori, na majeshi yao walikuwa pamoja nao, watu kama elfu kumi na tano hesabu yao, ni wote waliobaki wa hilo jeshi lote la hao wana wa mashariki; kwa sababu walianguka wapiganaji elfu mia moja na ishirini waliokuwa wakitumia upanga.


Kisha akaubomoa mnara wa Penieli, na kuwaua watu wa mji huo.