Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 7:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wanaume wa Israeli walikuwa wamekusanyika kutoka Naftali, na kutoka Asheri, na kutoka Manase yote, wakawafuata Midiani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waisraeli wa kabila la Naftali, Asheri, na Manase, wote waliitwa, wakawafuatia Wamidiani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waisraeli wa kabila la Naftali, Asheri, na Manase, wote waliitwa, wakawafuatia Wamidiani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waisraeli wa kabila la Naftali, Asheri, na Manase, wote waliitwa, wakawafuatia Wamidiani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanaume Waisraeli wakaitwa kutoka Naftali, Asheri na Manase yote, nao wakawafuatia Wamidiani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu wa Israeli wakaitwa kutoka Naftali, Asheri na Manase, wakawafuatia Wamidiani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wanaume wa Israeli walikuwa wamekusanyika kutoka Naftali, na kutoka Asheri, na kutoka Manase yote, wakawafuata Midiani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 7:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akafa Hushamu, akamiliki Hadadi wa Bedadi badala yake, naye ndiye aliyepiga Midiani katika nyika ya Moabu, na jina la mji wake ni Avithi.


Wakapiga kila mmoja mtu wake; Washami wakakimbia, na Israeli wakawafuatia; Ben-hadadi mfalme wa Shamu akaokoka amepanda farasi, pamoja na wapandao farasi.


Mfalme wa Israeli akatoka, akawapiga farasi na magari, akawapiga Washami pigo kubwa.


Nanyi mtawafukuza adui zenu, nao wataanguka mbele zenu kwa upanga.


Kisha akatuma wajumbe waende kati ya Manase yote; wao nao walikutana pamoja ili kumfuata; kisha akatuma wajumbe waende kwa Asheri, na kwa Zabuloni, na kwa Naftali; nao wakakwea ili kumlaki.