Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 7:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini, ukiogopa kushuka, shuka pamoja na Pura mtumishi wako kambini;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini kama unaogopa, nenda pamoja na mtumishi wako Pura.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini kama unaogopa, nenda pamoja na mtumishi wako Pura.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini kama unaogopa, nenda pamoja na mtumishi wako Pura.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini kama unaogopa kushambulia, shuka kambini pamoja na mtumishi wako Pura,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kama unaogopa kushambulia, shuka kambini pamoja na mtumishi wako Pura,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini, ukiogopa kushuka, shuka pamoja na Pura mtumishi wako kambini;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 7:10
5 Marejeleo ya Msalaba  

nawe utasikia wanayoyasema, na baada ya haya, mikono yako itatiwa nguvu; ushuke kambini. Ndipo akashuka pamoja na Pura mtumishi wake hadi katika vituo vya walinda zamu wa kambi ya Wamidiani.


Ikawa usiku uo huo BWANA akamwambia, Ondoka, shuka kambini; maana nimeitia katika mikono yako.


Ndipo Daudi akajibu, akamwambia Ahimeleki, Mhiti, na Abishai, mwana wa Seruya, ndugu yake Yoabu, akisema, Ni nani atakayeshuka pamoja nami kwa Sauli kambini? Abishai akasema, Mimi nitashuka pamoja nawe.