Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 5:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Aliomba maji, naye akampa maziwa. Akamletea siagi katika sahani ya heshima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sisera alimwomba maji, naye akampa maziwa; alimletea siagi katika bakuli ya heshima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sisera alimwomba maji, naye akampa maziwa; alimletea siagi katika bakuli ya heshima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sisera alimwomba maji, naye akampa maziwa; alimletea siagi katika bakuli ya heshima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sisera alimwomba maji, naye akampa maziwa; kwenye bakuli la heshima akamletea maziwa mgando.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aliomba maji, naye akampa maziwa; kwenye bakuli la heshima akamletea maziwa mgando.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Aliomba maji, naye akampa maziwa. Akamletea siagi katika sahani ya heshima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 5:25
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akatwaa siagi na maziwa, na ndama aliyoiandaa, akawaandalia mbele yao, akasimama karibu nao chini ya mti, nao wakala.


Atabarikiwa Yaeli kuliko wanawake wote; Mkewe Heberi, Mkeni, Atabarikiwa kuliko wanawake wote hemani.


Akanyosha mkono wake akashika kigingi, Nao mkono wake wa kulia ukashika nyundo ya fundi; Akampiga Sisera kwa hiyo nyundo, akamtoboa kichwa chake. Naam, alimpiga akamtoboa kipaji chake.