Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 3:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye hapo alipomaliza kuitoa hiyo tunu, akawapa ruhusa watu hao walioichukua tunu, wakaenda zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ehudi alipomaliza kutoa zawadi, akawaambia watu waliobeba zawadi, waondoke.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ehudi alipomaliza kutoa zawadi, akawaambia watu waliobeba zawadi, waondoke.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ehudi alipomaliza kutoa zawadi, akawaambia watu waliobeba zawadi, waondoke.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya Ehudi kumkabidhi ule ushuru, akawatuma wale watu waliokuwa wameubeba huo ushuru waende zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya Ehudi kumkabidhi ule ushuru, wale watu waliokuwa wameubeba huo ushuru aliwaruhusu waende zao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye hapo alipomaliza kuitoa hiyo tunu, akawapa ruhusa watu hao walioichukua tunu, wakaenda zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 3:18
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akamsogezea Egloni, mfalme wa Moabu, hiyo tunu; basi Egloni alikuwa ni mtu aliyenenepa sana.


Lakini yeye mwenyewe akageuka kutoka huko kwenye sanamu zilizokuwa karibu na Gilgali, akasema, Mimi nina ujumbe wa siri kwako wewe, Ee mfalme. Naye akasema, Nyamazeni kimya. Watu wote waliokuwa wanasimama karibu naye wakatoka na kumwacha.