Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 20:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi wana wa Israeli wakakaribia juu ya wana wa Benyamini siku ya pili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo siku ya pili Waisraeli wakakaribia kupigana na watu wa kabila la Benyamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo siku ya pili Waisraeli wakakaribia kupigana na watu wa kabila la Benyamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo siku ya pili Waisraeli wakakaribia kupigana na watu wa kabila la Benyamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Waisraeli wakawakaribia Wabenyamini siku ya pili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Waisraeli wakawakaribia Wabenyamini siku ya pili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wana wa Israeli wakakaribia juu ya wana wa Benyamini siku ya pili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 20:24
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Israeli wakakwea juu na kulia mbele za BWANA hadi jioni; wakamwuliza BWANA, wakisema, Je! Niende nikaribie tena kupiga vita juu ya wana wa Benyamini ndugu yangu? BWANA akasema, Haya, kweeni, mwende kupigana naye.


Benyamini alitoka kupigana nao kutoka Gibea siku ya pili, wakawaua watu elfu kumi na nane tena katika watu wa Israeli; hao wote walikuwa wamejihami.