Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 20:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi wana wa Israeli waliondoka asubuhi, wakapanga hema zao ili kuvamia Gibea.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Waisraeli wakaenda asubuhi, wakapiga kambi yao karibu na mji wa Gibea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Waisraeli wakaenda asubuhi, wakapiga kambi yao karibu na mji wa Gibea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Waisraeli wakaenda asubuhi, wakapiga kambi yao karibu na mji wa Gibea.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kesho yake asubuhi, Waisraeli wakaamka na kupiga kambi karibu na Gibea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Asubuhi yake Waisraeli wakaamka na kupiga kambi karibu na Gibea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wana wa Israeli waliondoka asubuhi, wakapanga hema zao ili kuvamia Gibea.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 20:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yoshua akaondoka asubuhi na mapema, nao wakatoka Shitimu, wakafika katika mto wa Yordani, yeye na wana wa Israeli wote, wakakaa hapo kabla ya kuvuka.


Yoshua akaondoka asubuhi na mapema, nao makuhani wakalichukua sanduku la BWANA.


Basi Yoshua akaondoka asubuhi na mapema, akawasongeza Israeli kabila kwa kabila; kabila la Yuda likatwaliwa.


Basi wana wa Israeli wakainuka, wakakwea kwenda Betheli, nao wakataka shauri kwa Mungu; wakasema, Ni nani atakayekwea kwenda vitani kwanza kwa ajili yetu juu ya wana wa Benyamini? BWANA akawaambia, Yuda atakwea kwanza.


Watu wa Israeli waliondoka ili wapigane na Benyamini; nao watu wa Israeli wakaviandaa vita juu yao huko Gibea.