Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 16:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini zile nywele za kichwa chake zikaanza kukua tena baada ya kunyolewa kwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini nywele zake zikaanza kukua tena baada ya kunyolewa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini nywele zake zikaanza kukua tena baada ya kunyolewa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini nywele zake zikaanza kukua tena baada ya kunyolewa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati huo nywele za kichwa chake zikaanza kukua tena baada ya kunyolewa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati huo nywele za kichwa chake zikaanza kukua tena baada ya kunyolewa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini zile nywele za kichwa chake zikaanza kukua tena baada ya kunyolewa kwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 16:22
6 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini pamoja na hayo yote, watakapokuwa katika nchi ya adui zao, mimi, sitawatupa, wala sitawachukia, niwaangamize kabisa, na kulivunja agano langu pamoja nao; kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wao;


Kwa kuwa BWANA atawaamua watu wake, Atawahurumia watumwa wake, Aonapo ya kuwa nguvu zao zimeondoka, Na ya kuwa habaki mtu, aliyefungwa wala asiyefungwa,


Wafilisti wakamkamata, wakamng'oa macho; wakateremka naye mpaka Gaza, wakamfunga kwa vifungo vya shaba; naye alikuwa akisaga ngano katika gereza.


Kisha wakuu wa Wafilisti wakakusanyika ili kumtolea sadaka Dagoni mungu wao, na kufurahi; maana walisema, mungu wetu amemtia Samsoni adui wetu mikononi mwetu.