Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 16:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Samsoni akaenda Gaza, akaona huko mwanamke kahaba, akaingia kwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku moja Samsoni alikwenda mjini Gaza, akakutana na malaya mmoja akalala naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku moja Samsoni alikwenda mjini Gaza, akakutana na malaya mmoja akalala naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku moja Samsoni alikwenda mjini Gaza, akakutana na malaya mmoja akalala naye.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku moja Samsoni alienda Gaza, akamwona mwanamke kahaba, naye akaingia kwake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku moja Samsoni alienda Gaza, akamwona mwanamke kahaba, naye akaingia kwake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Samsoni akaenda Gaza, akaona huko mwanamke kahaba, akaingia kwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 16:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na mpaka wa Wakanaani ulianza kutoka Sidoni kwa njia ya Gerari hata Gaza; tena kwa njia ya Sodoma, na Gomora, na Adma, na Seboimu, hata Lasha.


Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,


Ashdodi, na miji yake na vijiji vyake; Gaza, na miji yake na vijiji vyake; mpaka kijito cha Misri, na bahari kuu na pwani yake.


Pamoja na haya Yuda aliutwaa Gaza pamoja na mipaka yake, na Ashkeloni na mipaka yake, na Ekroni na mipaka yake.


Samsoni akateremka hadi Timna, akaona mwanamke huko Timna, mmojawapo wa binti za Wafilisti.


Watu wa Gaza wakaambiwa, ya kwamba, huyo Samsoni amekuja huku. Wakamzingira, wakamvizia usiku kucha, penye lango la mji, wakanyamaza kimya usiku kucha, wakisema, Na tungoje mpaka mapambazuko, ndipo tutamwua.