Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 13:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi huyo mwanamke akaenda haraka, akapiga mbio, na kumwambia mumewe, akisema, Tazama, huyo mtu amenitokea, huyo aliyenijia siku ile.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanamke akakimbia upesi, akamwambia mumewe, “Tazama! Yule mtu aliyenijia siku ile amenitokea tena.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanamke akakimbia upesi, akamwambia mumewe, “Tazama! Yule mtu aliyenijia siku ile amenitokea tena.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanamke akakimbia upesi, akamwambia mumewe, “Tazama! yule mtu aliyenijia siku ile amenitokea tena.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi yule mwanamke akaenda haraka na kumwambia mumewe, “Tazama mtu yule aliyenitokea siku ile yupo hapa!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi yule mwanamke akaenda haraka na kumwambia mumewe, “Tazama mtu yule aliyenitokea siku ile yupo hapa!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi huyo mwanamke akaenda haraka, akapiga mbio, na kumwambia mumewe, akisema, Tazama, huyo mtu amenitokea, huyo aliyenijia siku ile.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 13:10
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo yule mwanamke akaenda akamwambia mume wake, akisema, Mtu wa Mungu alinijia, na uso wake ulikuwa kama uso wa malaika wa Mungu, wa kutisha sana; nami sikumwuliza, Umetoka wapi? Wala hakuniambia jina lake;


Mungu akasikia sauti ya Manoa; naye malaika wa Mungu akamwendea yule mwanamke tena alipokuwa anaketi shambani; lakini mumewe, Manoa, hakuwapo pamoja naye.