Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 12:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli kutoka Pirathoni akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli kutoka Pirathoni akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli kutoka Pirathoni akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli Mpirathoni akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 12:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

na Benaya, Mpirathoni, na Hurai, wa vijito vya Gaashi;


Huyo Eloni, Mzabuloni, akafa, akazikwa katika Aiyaloni katika nchi ya Zabuloni.


Naye alikuwa na wana arubaini, na wajukuu thelathini, waliokuwa wakipanda wanapunda sabini; akawa mwamuzi wa Israeli muda wa miaka minane.


Huyo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, akazikwa huko Pirathoni katika nchi ya Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.