Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 11:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

wakamwambia Yeftha, Njoo wewe uwe kichwa chetu, ili tupate kupigana na wana wa Amoni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakamwambia, “Njoo utuongoze katika vita vyetu na Waamoni.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakamwambia, “Njoo utuongoze katika vita vyetu na Waamoni.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakamwambia, “Njoo utuongoze katika vita vyetu na Waamoni.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamwambia Yefta, “Njoo, uwe jemadari wetu, ili tuweze kupigana na Waamoni.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamwambia Yefta, “Uwe jemadari wetu, ili tuweze kupigana na Waamoni.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakamwambia Yeftha, Njoo wewe uwe kichwa chetu, ili tupate kupigana na wana wa Amoni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 11:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu atakapomshika ndugu yake ndani ya nyumba ya baba yake, akisema, Wewe una nguo, ututawale wewe; na mahali hapa palipobomoka pawe chini ya mkono wako;


Wakati huo wana wa Amoni walikutana pamoja, wakapiga kambi huko Gileadi. Wana wa Israeli nao wakajikusanya wakapiga kambi Mispa.


Ikatukia, hapo wana wa Amoni walipopigana na Israeli, wazee wa Gileadi wakaenda kumtwaa huyo Yeftha katika ile nchi ya Tobu;


Yeftha akawaambia wazee wa Gileadi, Je! Ninyi hamkunichukia mimi na kunifukuza nitoke katika nyumba ya baba yangu? Kwa nini basi mnanijia hivi sasa wakati mkiwa katika taabu?