Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 11:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikawa baadaye, wana wa Amoni wakapigana na Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya muda fulani, Waamoni waliwashambulia Waisraeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya muda fulani, Waamoni waliwashambulia Waisraeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya muda fulani, Waamoni waliwashambulia Waisraeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya muda Waamoni wakafanya vita na Israeli,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya muda Waamoni wakafanya vita na Israeli,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa baadaye, wana wa Amoni wakapigana na Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 11:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati huo wana wa Amoni walikutana pamoja, wakapiga kambi huko Gileadi. Wana wa Israeli nao wakajikusanya wakapiga kambi Mispa.


Na hao watu, wakuu wa Gileadi, wakaambiana wao kwa wao, Je! Ni mtu yupi atakayeanza kupigana na wana wa Amoni? Yeye atakuwa ni kichwa juu ya wenyeji wote wa Gileadi.


Wana wa Amoni nao wakavuka Yordani ili wapigane na Yuda, na kupigana na Benyamini, na nyumba ya Efraimu; basi hivyo Israeli walikuwa wanasumbuliwa sana.


Ikatukia, hapo wana wa Amoni walipopigana na Israeli, wazee wa Gileadi wakaenda kumtwaa huyo Yeftha katika ile nchi ya Tobu;


Ikawa, kama baada ya mwezi mmoja, Nahashi, Mwamoni, akakwea na kupiga kambi juu ya Yabesh-gileadi; na watu wote wa Yabeshi wakamwambia Nahashi, Fanya mapatano nasi, na sisi tutakutumikia.