Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 11:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini mfalme wa wana wa Amoni hakuusikiza ujumbe aliotumiwa na Yeftha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini mfalme wa Amoni alipuuza ujumbe huo wa Yeftha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini mfalme wa Amoni alipuuza ujumbe huo wa Yeftha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini mfalme wa Amoni alipuuza ujumbe huo wa Yeftha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata hivyo, mfalme wa Waamoni hakuyajali maneno ya ujumbe wa Yefta.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata hivyo, Mfalme wa Waamoni, hakuyajali maneno ya ujumbe wa Yefta.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini mfalme wa wana wa Amoni hakuusikiliza ujumbe aliotumiwa na Yeftha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 11:28
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Amazia hakutaka kusikia. Basi Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea; wakatazamana uso kwa uso, yeye na Amazia mfalme wa Yuda, huko Beth-shemeshi ulio wa Yuda.


Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.


Basi mimi sikukufanyia wewe dhambi, lakini wewe unanitenda uovu kwa kupigana nami; yeye BWANA, yeye Mwamuzi, na awe mwamuzi hivi leo kati ya wana wa Israeli na wana wa Amoni.


Ndipo Roho ya BWANA ikamjia Yeftha, naye akapita katika Gileadi na Manase, akapita na katika Mispa ya Gileadi, na kutoka hapo Mispa ya Gileadi akapita kuwaendea wana wa Amoni.