Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waamuzi 10:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yairi akafa, akazikwa huko Kamoni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yairi alifariki na kuzikwa huko Kamoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yairi alifariki na kuzikwa huko Kamoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yairi alifariki na kuzikwa huko Kamoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yairi akafa, naye akazikwa huko Kamoni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yairi akafa, naye akazikwa huko Kamoni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yairi akafa, akazikwa huko Kamoni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waamuzi 10:5
3 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo alikuwa na watoto wa kiume thelathini waliokuwa wakipanda wanapunda thelathini, nao walikuwa na miji thelathini, ambayo inaitwa Hawoth-yairi hata hivi leo, nayo iko katika nchi ya Gileadi.


Kisha wana wa Israeli walifanya tena yaliyo maovu mbele za macho ya BWANA, wakawatumikia Mabaali, na Maashtorethi, na miungu ya Shamu, na miungu ya Sidoni, na miungu ya Moabu, na miungu ya wana wa Amoni, na miungu ya Wafilisti; nao wakamuacha BWANA, wala hawakumtumikia yeye.


Nao wakawasumbua na kuwaonea wana wa Israeli mwaka huo; waliwaonea wana wa Israeli wote waliokuwa ng'ambo ya pili ya Yordani katika nchi ya Waamori, iliyoko huko Gileadi, muda wa miaka kumi na minane.