Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ufunuo 3:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho wa Mungu ayaambia makundi ya waumini.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makundi ya waumini.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ufunuo 3:22
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]


Basi kanisa likapata raha kote katika Yudea na Galilaya na Samaria, likajengwa, likiendelea na kuongezeka katika kicho cha Bwana, na faraja ya Roho Mtakatifu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzawa wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.