Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ufunuo 19:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye amevikwa vazi lililoloweshwa katika damu, na jina lake anaitwa, Neno la Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni “Neno la Mungu”.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni “Neno la Mungu”.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni “Neno la Mungu”.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amevaa joho lililoloweshwa katika damu, na Jina lake ni Neno la Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amevaa joho lililochoviwa katika damu, na Jina lake ni “Neno la Mungu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye amevikwa vazi lililoloweshwa katika damu, na jina lake anaitwa, Neno la Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ufunuo 19:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye haki atafurahi akionapo kisasi; Ataiosha miguu yake katika damu ya wasio haki.


Maana silaha zote za mtu mwenye silaha wakati wa mshindo, na mavazi yaliyovingirishwa katika damu, yatakuwa tayari kuteketezwa, yatakuwa kuni za kutiwa motoni.


Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.


Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.


Lile lililokuwako tangu mwanzo, tulilolisikia, tuliloliona kwa macho yetu, tulilolitazama, na mikono yetu ikalipapasa, kuhusu Neno la uzima;


Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli.


Shinikizo lile likakanyagwa nje ya mji, damu ikatoka katika shinikizo mpaka kwenye hatamu za farasi, kama mwendo wa maili mia mbili.