Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ufunuo 18:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amekumbuka maovu yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa maana dhambi zake zimekuwa nyingi mno, zimerundikana mpaka mbinguni, na Mungu ameyakumbuka maovu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa maana dhambi zake zimekuwa nyingi mno, zimerundikana mpaka mbinguni, na Mungu ameyakumbuka maovu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa maana dhambi zake zimekuwa nyingi mno, zimerundikana mpaka mbinguni, na Mungu ameyakumbuka maovu yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa kuwa dhambi zake zimefika hadi mbinguni, naye Mungu ameukumbuka uhalifu wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa kuwa dhambi zake zimelundikana hadi mbinguni, naye Mungu ameukumbuka uhalifu wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amekumbuka maovu yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ufunuo 18:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kulikuwako huko nabii wa BWANA, jina lake aliitwa Odedi; akatoka kuwalaki jeshi waliokuja Samaria, akawaambia, Angalieni, kwa kuwa BWANA, Mungu wa baba zenu, aliwakasirikia Yuda, yeye amewatia mikononi mwenu, nanyi mmewaua kwa ghadhabu iliyofikia mbinguni.


nikasema, Ee Mungu wangu, nimetahayari, naona haya kuinua uso wangu mbele zako, Mungu wangu; kwa maana maovu yetu ni mengi, hata yamefika juu ya vichwa vyetu, na hatia yetu imeongezeka na kufika mbinguni.


Tungependa kuuponya Babeli, Lakini haukuponyeka; Mwacheni, nasi twendeni zetu, Kila mtu hata nchi yake mwenyewe; Maana hukumu yake inafika hata mbinguni, Nayo imeinuliwa kufikia mawinguni.


Ondoka, uende Ninawi, mji ule mkubwa, ukapige kelele juu yake; kwa maana uovu wao umepanda juu mbele zangu.


Na mji ule mkuu ukagawanyika katika mafungu matatu, na miji ya mataifa ikaanguka; na Babeli ule mkuu ukakumbukwa mbele za Mungu, kupewa kikombe cha mvinyo ya ghadhabu ya hasira yake.