Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ufunuo 17:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hawa wana nia moja, nao watamwachia yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hawa wana nia moja, nao watamwachia yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ufunuo 17:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana MUNGU asema hivi; Itakuwa katika siku hiyo, mawazo yataingia moyoni mwako, nawe utakusudia kusudi baya;


ili wafanye yote ambayo mkono wako na mashauri yako yamekusudia tangu zamani yatokee.


Lakini mwenendo wenu na uwe kama inavyoipasa Injili ya Kristo, ili, nikija na kuwaona ninyi, au nisipokuwapo, niyasikie mambo yenu, kama mnasimama imara katika roho moja, kwa moyo mmoja mkiishindania imani ya Injili;


ijalizeni furaha yangu, ili muwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, mkiwaza mamoja.


Hawa watafanya vita na Mwana-kondoo, na Mwana-kondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio walioitwa, na wateule, na waaminifu.


Maana Mungu ametia mioyoni mwao kufanya shauri lake, na kufanya shauri moja, na kumpa yule mnyama ufalme wao hata maneno ya Mungu yatimizwe.