Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Tobiti 1:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kumbe! Hazijapita siku hamsini na tano hata wanawe wawili walimwua baba yao, wakakimbilia kwenye milima ya Ararati. Naye Esar-hadoni mwanawe akatawala mahali pake; akaweka Akiakaro, mwana wa ndugu yangu Anaeli, juu ya takwimu zote za ufalme wake, na juu ya mambo yake yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ilipokuwa bado hata hazijapita siku hamsini wana wawili wa Senakeribu walimuua baba yao, wakakimbilia kwenye milima ya Ararati. Esar-hadoni, mwana mwingine wa Senakeribu, akawa mfalme; akamteua Ahika, mwana wa ndugu yangu Anaeli, awe waziri wa fedha na mratibu wa mambo yote ya utawala.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ilipokuwa bado hata hazijapita siku hamsini wana wawili wa Senakeribu walimuua baba yao, wakakimbilia kwenye milima ya Ararati. Esar-hadoni, mwana mwingine wa Senakeribu, akawa mfalme; akamteua Ahika, mwana wa ndugu yangu Anaeli, awe waziri wa fedha na mratibu wa mambo yote ya utawala.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kumbe! Hazijapita siku hamsini na tano hata wanawe wawili walimwua baba yao, wakakimbilia kwenye milima ya Ararati. Naye Esar-hadoni mwanawe akatawala mahali pake; akaweka Akiakaro, mwana wa ndugu yangu Anaeli, juu ya takwimu zote za ufalme wake, na juu ya mambo yake yote.

Tazama sura

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

Ilipokuwa bado hata hazijapita siku hamsini wana wawili wa Senakeribu walimuua baba yao, wakakimbilia kwenye milima ya Ararati. Esar-hadoni, mwana mwingine wa Senakeribu, akawa mfalme; akamteua Ahika, mwana wa ndugu yangu Anaeli, awe waziri wa fedha na mratibu wa mambo yote ya utawala.

Tazama sura



Tobiti 1:21
0 Marejeleo ya Msalaba