Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Tobiti 1:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

nikawapa wenye njaa chakula; nikawapa walio uchi nguo zangu; hata nikimwona mtu yeyote wa taifa letu amekufa na kutupwa kwenye kuta za Ninawi, nikamzika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wenye njaa, niliwapatia chakula changu na kuwapa nguo wale waliotindikiwa nazo. Kila nilipokuta maiti ya mmoja wa watu wangu ametupwa nje ya ukuta wa mji, nilimwokota na kumzika kwa heshima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wenye njaa, niliwapatia chakula changu na kuwapa nguo wale waliotindikiwa nazo. Kila nilipokuta maiti ya mmoja wa watu wangu ametupwa nje ya ukuta wa mji, nilimwokota na kumzika kwa heshima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nikawapa wenye njaa chakula; nikawapa walio uchi nguo zangu; hata nikimwona mtu yeyote wa taifa letu amekufa na kutupwa kwenye kuta za Ninawi, nikamzika.

Tazama sura

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

Wenye njaa, niliwapatia chakula changu na kuwapa nguo wale waliotindikiwa nazo. Kila nilipokuta maiti ya mmoja wa watu wangu ametupwa nje ya ukuta wa mji, nilimwokota na kumzika kwa heshima.

Tazama sura



Tobiti 1:17
0 Marejeleo ya Msalaba