Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Tobiti 1:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hivyo nikaenda mpaka Umedi, nikaweka amana kwake Gabaeli mwana wa Gabria talanta kumi za fedha, huko Rage, mji wa Umedi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kabla mfalme huyo hajafariki, nilikwenda mara nyingi nchini Media kumnunulia vitu. Siku moja, nilipokuwa mjini Rage huko Media, nilimwachia Gabaeli, nduguye Gabria, fedha mifuko kadhaa, nikamwomba anitunzie. Ndani ya mifuko hiyo mlikuwa na sarafu za shaba zaidi ya kilo 300.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kabla mfalme huyo hajafariki, nilikwenda mara nyingi nchini Media kumnunulia vitu. Siku moja, nilipokuwa mjini Rage huko Media, nilimwachia Gabaeli, nduguye Gabria, fedha mifuko kadhaa, nikamwomba anitunzie. Ndani ya mifuko hiyo mlikuwa na sarafu za shaba zaidi ya kilo 300.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hivyo nikaenda mpaka Umedi, nikaweka amana kwake Gabaeli mwana wa Gabria talanta kumi za fedha, huko Rage, mji wa Umedi.

Tazama sura

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

Kabla mfalme huyo hajafariki, nilikwenda mara nyingi nchini Media kumnunulia vitu. Siku moja, nilipokuwa mjini Rage huko Media, nilimwachia Gabaeli, nduguye Gabria, fedha mifuko kadhaa, nikamwomba anitunzie. Ndani ya mifuko hiyo mlikuwa na sarafu za shaba zaidi ya kilo 300.

Tazama sura



Tobiti 1:14
0 Marejeleo ya Msalaba