Lakini kama vile kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.
Tito 2:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Watumwa na wawatii bwana zao, wakiwapendeza katika mambo yote; wasiwe wakaidi, Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Watumwa wanapaswa kuwatii wakuu wao na kuwapendeza katika mambo yote. Wasibishane nao, Biblia Habari Njema - BHND Watumwa wanapaswa kuwatii wakuu wao na kuwapendeza katika mambo yote. Wasibishane nao, Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Watumwa wanapaswa kuwatii wakuu wao na kuwapendeza katika mambo yote. Wasibishane nao, Neno: Bibilia Takatifu Wafundishe watumwa kuwatii mabwana zao katika kila jambo, wakijitahidi kuwapendeza wala wasijibizane nao, Neno: Maandiko Matakatifu Wafundishe watumwa kuwatii mabwana zao katika kila jambo, wakijitahidi kuwapendeza wala wasijibizane nao, BIBLIA KISWAHILI Watumwa na wawatii bwana zao, wakiwapendeza katika mambo yote; wasiwe wakaidi, |
Lakini kama vile kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.