Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Tito 1:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

wasisikilize hadithi za Kiyahudi, wala maagizo ya watu waukataao ukweli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wasiendelee kushikilia hadithi tupu za Kiyahudi na maagizo ya kibinadamu yanayozuka kwa watu walioukataa ukweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wasiendelee kushikilia hadithi tupu za Kiyahudi na maagizo ya kibinadamu yanayozuka kwa watu walioukataa ukweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wasiendelee kushikilia hadithi tupu za Kiyahudi na maagizo ya kibinadamu yanayozuka kwa watu walioukataa ukweli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ili wasiendelee kuangalia hadithi za Kiyahudi au maagizo ya wale watu wanaoikataa kweli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ili wasiendelee kuangalia hadithi za Kiyahudi au maagizo ya wale watu wanaoikataa kweli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wasisikilize hadithi za Kiyahudi, wala maagizo ya watu waukataao ukweli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Tito 1:14
10 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana akanena, Kwa kuwa watu hawa hunikaribia na kuniheshimu kwa vinywa vyao, bali mioyo yao wamefarakana nami, na kicho chao walichonacho kwangu ni maagizo ya wanadamu waliyofundishwa;


Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.


Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu,


Bali sasa mkiisha kumjua Mungu, au zaidi kujulikana na Mungu, kwa nini kuyarejea tena mafundisho ya kwanza yaliyo manyonge, yenye upungufu, ambayo mnataka kuyatumikia tena?


(mambo hayo yote huharibika wakati wa kutumiwa); hali mkifuata maagizo na mafundisho ya wanadamu?


nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.


maana unajua ya kuwa mtu kama huyo ni mpotovu na mtenda dhambi, naye amejihukumia hatia yeye mwenyewe.


Angalieni msimkatae yeye anenaye. Maana ikiwa hawakuokoka wale waliomkataa yeye aliyewaonya juu ya nchi, zaidi sana hatutaokoka sisi tukijiepusha na yeye atuonyaye kutoka mbinguni;


Lakini imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya kweli, Mbwa ameyarudia matapiko yake mwenyewe, na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugaagaa matopeni.