Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 8:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

akatoa kunguru, naye akatoka akaenda huku na huko, hata maji yakakauka juu ya nchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

akamtoa kunguru nje, naye hakurudi bali aliruka huko na huko mpaka maji yalipokauka nchini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

akamtoa kunguru nje, naye hakurudi bali aliruka huko na huko mpaka maji yalipokauka nchini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

akamtoa kunguru nje, naye hakurudi bali aliruka huko na huko mpaka maji yalipokauka nchini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

akamtoa kunguru, naye akawa akiruka kwenda na kurudi hadi maji yalipokwisha kukauka juu ya dunia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na akamtoa kunguru, akawa akiruka kwenda na kurudi mpaka maji yalipokwisha kukauka juu ya nchi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akatoa kunguru, naye akatoka akaenda huku na huko, hata maji yakakauka juu ya nchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 8:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baada ya siku arubaini, Nuhu akalifungua dirisha la safina, alilolifanya;


Kisha akatoa njiwa, aone kwamba maji yamepunguka usoni pa nchi;


Itakuwa utakunywa maji ya kile kijito; nami nimewaamuru kunguru wakulishe huko.


Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito.


Ni nani anayempatia kunguru chakula, Makinda yake wanapomlilia Mungu, Na kutangatanga kwa kutindikiwa na chakula?


Humpa mnyama chakula chake, Wana-kunguru waliao.


na kila kunguru kwa aina zake;