Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 8:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikawa baada ya siku arubaini, Nuhu akalifungua dirisha la safina, alilolifanya;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya siku arubaini, Noa alifungua dirisha alilokuwa ametengeneza katika hiyo safina,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya siku arubaini, Noa alifungua dirisha alilokuwa ametengeneza katika hiyo safina,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya siku arubaini, Noa alifungua dirisha alilokuwa ametengeneza katika hiyo safina,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya siku arobaini, Nuhu akafungua dirisha alilokuwa amelifanya katika safina,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya siku arobaini Nuhu akafungua dirisha alilokuwa amelifanya katika safina

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa baada ya siku arobaini, Nuhu akalifungua dirisha la safina, alilolifanya;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 8:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

Uifanyie safina mwangaza, ukaumalize juu kiasi cha mkono mmoja; ukautie mlango wa safina katika ubavu wake; ukaifanyie dari tatu, ya chini, ya pili, na ya tatu.


Maji yakapungukapunguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.


akatoa kunguru, naye akatoka akaenda huku na huko, hata maji yakakauka juu ya nchi.


Hata Danieli, alipojua ya kuwa yale maandiko yamekwisha kutiwa sahihi, akaingia nyumbani mwake, (na madirisha katika chumba chake yalikuwa yamefunguliwa kuelekea Yerusalemu;) akapiga magoti mara tatu kila siku, akasali, akashukuru mbele za Mungu wake, kama alivyokuwa akifanya tokea hapo.