Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 8:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akangoja na siku saba tena, akamtoa yule njiwa; naye asimrudie tena kamwe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akangoja siku nyingine saba, akamtoa tena yule njiwa; safari hii njiwa hakurudi kabisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akangoja siku nyingine saba, akamtoa tena yule njiwa; safari hii njiwa hakurudi kabisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akangoja siku nyingine saba, akamtoa tena yule njiwa; safari hii njiwa hakurudi kabisa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akangojea siku saba zaidi na akamtuma tena hua, lakini wakati huu hua hakurudi tena kwa Nuhu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akangojea siku saba zaidi na akamtuma tena hua, lakini wakati huu hua hakurudi tena kwa Nuhu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akangoja na siku saba tena, akamtoa yule njiwa; naye asimrudie tena kamwe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 8:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akangoja na siku saba tena; kisha akamtoa yule njiwa katika safina mara ya pili,


njiwa akamjia jioni, na tazama, alikuwa na jani bichi la mzeituni kinywani mwake, ambalo amelichuma, basi Nuhu akajua ya kwamba maji yamepunguka juu ya nchi.


Umtumainie BWANA, uwe imara, Upige moyo konde, naam, umngoje BWANA.


Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.


Naam, katika njia ya hukumu zako Sisi tumekungoja, Ee BWANA; Shauku ya nafsi zetu inaelekea Jina lako na ukumbusho wako.


Kwa ajili ya hayo BWANA atangoja, ili awaonee huruma, na kwa ajili ya hayo atatukuzwa, ili awarehemu; kwa maana BWANA ni Mungu wa hukumu; heri wote wamngojao.


Nami nitamngojea BWANA, awafichaye uso wake nyumba ya Yakobo, nami nitamtazamia.


Enyi mkaao Moabu, ondokeni mijini, Nendeni mkakae majabalini; Mkawe kama njiwa atengenezaye kiota chake Kandoni mwa mdomo wa shimo.


Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.